bayyinaat

FUNGAMANO LA ELIMU NA DINI - 2

FUNGAMANO LA ELIMU NA DINI - 2

Elimu: awali ya yote tutaanza kuelezea maana ya Elimu, ambapo kuna maana tofauti ziliolezwa kunako suala zima la kuitambulisha neno Elimu, nami nitajaribu kuashiria baadhi yake kama ifuatavyo:
FUNGAMANO LA ELIMU NA DINI

FUNGAMANO LA ELIMU NA DINI

Hapo ndipo zikatokea nadharia ya kupinga uwepo na ukweli wa Dini kwakuwa tu mafunzo ya Dini haziendani na tija za tafiti ambazo hutoa majibu ya uhakika, na kutoka na kauli mbiu hii kuwa Dini...........
UISLAMU NA TABIA

UISLAMU NA TABIA

Tabia mbaya inakuwa ni: Hali ambayo inayoiamrisha nafsi kuelekea kwenye mambo ambayo yako kinyume na maadili mema, pia ina sababisha mwanadamu kuwa kinyume na maumbile ya ubinadamu, na miongoni mwa mambo yaliyokuwa wazi ni kwamba tabia hiyo ina athari mbaya katika maisha ya mwanadamu huyo, na ina sababisha kuchukiwa na kutengwa na watu, na kwamba hatima yake huwa ni mbaya. Mtume mtukufu (s.a.w.w) anatueleza mwisho
UISLAMU NA TABIA

UISLAMU NA TABIA

Kwa vile matokeo yanayotokana na juhudi za watu mbalimbali huingiliana na kwa vile kila mtu hutaka kufaidika na matokeo ya matunda hayo, bila shaka hutokea matatizo yanayosababishwa na maslahi mbalimbali ya kibinafsi katika ushirikiano wao wa mara kwa mara. Ni jambo lililo wazi kwamba ni maslahi ya kawaida ndiyo husababisha kila aina ya tofauti. Chuki. Uadui. Dhulma. Na kutoaminiana. Kwa lengo la kuwafanya watu waaminiane, jambo huitajia silsila ya sheria ambazo utekelezaji wake huzuia kutokea kwa ghasia na fujo.
1 2 3