bayyinaat

Mwanzo
Tafuta
UTAMADUNI WA UMOJA NA UVUMILIVU
Hali ambayo umma wa Kiisilamu unaishi leo, miongoni mwa ugomvi na mapigano yaumwagaji damu, yanatilia mkazo na umuhimu wa kueneza utamaduni wa umoja, usamehevu na kukubali rai ya mwingine, kwani utamaduni ndio ambao unatengeneza tabia na mwenendo wake.
KUMUAMINI ALLAH NA USAWA BAINA YA WATU
Imamu Ridhaa (a.s) akanijibu kwa kusema: Nyamaza! Kwa hakika Mwenyezi Mungu mtukufu ni mmoja tu, baba ni mmoja, na mama ni mmoja pia( hivyo hakuna tofauti na ubaguzi na vitu vyote hivyo havina thamani) na ujira wa kila mtu nikulingana na amali yake.
KUJITAMBUA
Hii humfanya mwanadamu huyu kufanya au kujihusisha na mambo ambayo ana uwezo nayo na kujitokeza katika maeneo na mazingira ambayo anaweza kua na nafasi muhimu au kuwa na ujumbe fulani.
KUTAMBUA ZAMA
inapaswa Mwislamu awe ni mwenye kudhibiti nafsi yake mwenyewe kujihusisha na kazi yake (yanayo muhusu)- yaani ajichunge na kutekeleza majukumu yake mwenyewe ipasavyo na awatambue watu wa zama zake
Umoja wa Mataifa:Myanmar haiko tayari kuwapokea wakimbizi Warohingya
Ursula Mueller, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Kibinadamu ameyasema hayo baada ya kufanya ziara ya siku sita nchini Myanmar
Nchi 23 Kushiriki Mashindano ya Qur'ani Nchini Iran
Hayo yamedokezwa na Hujjatul Islam Ali Mohammadi, Mkuu wa Shirika la Wakfu la Iran katika ba kuongeza kuwa kutakuwa mashindano manne tofauti ya Qur’ani katika duru ya mwaka huu.