Hali ambayo umma wa Kiisilamu unaishi leo, miongoni mwa ugomvi na mapigano yaumwagaji damu, yanatilia mkazo na umuhimu wa kueneza utamaduni wa umoja, usamehevu na kukubali rai ya mwingine, kwani utamaduni ndio ambao unatengeneza tabia na mwenendo wake.