Mwanzo
Tafuta
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron hajachukua msimamo mkali dhidi ya Uisilamu wakati wa urais wake, ambao ulianza mnamo 2017, lakini matamshi yake ya hivi karibuni yanaonyesha mwelekeo wazi dhidi ya Uislamu katika sera zake! Kwa kweli, swali ni nini siri ya kubadilisha mtazamo wa Macron kwa Uislamu na Waislamu? Au ni nini kimesababisha