bayyinaat

Mwanzo
Tafuta
Aina Za familia Na Matunda Yake
Wataalamu wa maswala ya kijamii wanatuambia kwamba katika jamii huwezi kukuta kwamba familia zote zipo katika mfumo mmoja, ikiwa na maana kwamba unaweza kuta familia hii na ile zinatofautiana kimfumo na hata kimalengo pia. Na aina au vigawanyo hivi vinatokana na........
Maisha ya kifamilia
Kwa maana hizo hapo juu tunafikia katika natija ya kwamba, neno familia kwa maana ya kwanza kabisa linakusanya kila ambaye ni katika ukoo wa mtu fulani na sio tu kuishia kwa mke na watoto. Hiyo ni maana ya familia katika matumizi ya Waarabu kutokana na lugha yao.......
Tafsiri ya Surat Nasr
Ni jambo ambalo lipo wazi kwamba katika dini ya Uislamu kulikuwa na vita nyingi mno ambazo Waislamu wakishinda, lakini ushindi ambao Mwenyezi Mungu anamuahidi mtume wake hapa ni ushindi juu ya kuufungua mji wa Maka kutoka katika mikono ya waabudu masanamu, hasa ukiangalia kwamba Waarabu walikuwa hawaamini kwamba itatokea siku moja Maka ikawa katika mikono ya Waislamu, na kama itatokea ikawa hivyo basi bila shaka Mtume atakuwa ni wa kweli na haki, maana haiwezekani ambaye ni mwongo kuja kuikomboa....
Tafsiri ya Surat Al masad
Imepokelewa katika riwaya kwamba uadui wa Abuu lahab kwa mtume na kwa Uislamu kwa ujumla haukuwa uadui mdogo, bali ulikuwa umefikia kiasi ambacho hata kama Abuu lahab alikuwa anaumwa hoi hakuweza kuvumilia kukaa kitandani huku Mtume akiendelea kulingania watu, bali alikuwa akimfuata kila kona ambayo alikuwa akienda huku akimwandama kwa maneno mabaya na matusi.........
Kwa hivyo basi ni kwamba kila jambo ambalo lipo katika dini na hata maisha yetu kwa ujumla linakuwa na falsafa na hekima yake, ama swala la kuijua au kutoijua hekima hiyo ni swala lingine kabisa, na ndio maana dini ya Kiislamu inapoona kwamba kuna ulazima wakubainisha hekima ile basi inafanya hivyo..........
“kama ni hivyo basi sitauabudu moto ambao umeabudiwa na ndugu yangu, na mimi nitaanzisha moto wangu na kuupa nadhiri zangu na nina imani kwamba zitakubaliwa tu.....”.