Uislamu umeufanya umoja kuwa jambo la wajibu na lazima miongoni mwa Waislamu na waumini na dini nyinginezo za mbinguni zinazomwamini Mwenyezi Mungu Mmoja. Uzito wa jambo hili .................
Tarehe 9 Mfunguo Sita Rabiul Awwali inasadifiana na siku muhimu katika historia ya Uislamu, nayo ni ya kuanza Uimamu na uongozi wa hujja wa mwisho wa Mwenyezi Mungu....