Katika mafunzo ya Maimamu watukufu kupata kuwa wao walikuwa ni mfano bora kwa familia zao! Kwa mienendo ya maisha katika familia zao. Kama anavyosimulia Salman Farsiy katika riwaya mbalimbali.......
Moja ya madhambi makubwa, ambayo ameweka wazi Imamu Sadiq na Imam Kadhim na Imam Ridhaa pamoja na Imam Jawaad katika maneno yao ni kuvunja undugu, na zimekuja kemeo kali kutoka ndani ya Qur’ani tukufu..........
Tunasema katika kulipembua jawabu ya kwamba, hakika maana ya Mwenyezi Mungu kumpandikizia mtawala dhalimu huyu ni kwa sababu Mwenyezi Mungu hamzui yule ambaye anayetaka kuwadhulumu ........