Inaelezwa kwamba Al Mar-ashiy alikuwa akifanya sana ibada na kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu kwa lengo kwamba siku moja aonyeshwe kaburi la Binti wa Mtume Bi Fatma Zahra (as), kiasi kwamba
Maasumu ni neno la Kiarabu lenye maana ya mtu ambaye hafanyi dhambi wala makosa, kama ambavyo inajulikana kwa Mitume na Maimamu (as). Sasa kwanini mwanamke huyu pia amekuwa maarufu kwa jina la Maasuma........
Katika makala hii nataka kuelezea vipindi vitatu muhimu ambavyo alipitia Imamu Askary katika njia yake ya kutekeleza majukumu ya Mwenyezi Mungu, lakini kabla ya kuingia katika vipindi hivyo
Ili kutayarisha mazingira na uwanja mzuri wa kudhihiri Imam wa Zama, Waislamu wanapaswa kujitayarishawao wenyewe kabla ya jambo lolote jingine. Sharti la kujitayarisha huko ni ......