bayyinaat

Historia
Maimamu 12 (a.s)
Imam Hassan Almujtaba, Mjukuu Mtukufu wa bwana Mtume Muhammad
Miongoni mwa fadhila kubwa za Imamu huyu ni kwamba kuna riwaya nyingi sana kutoka kwa Bwana Mtume ambazo zimekuja katika kuelezea hilo, miongoni mwa riwaya hizo ni:
Imam Hussein AS katika tukio la Mubahala (maapizano)
kujitolea kwake katika njia ya Mwenyezi Mungu uliendelea hadi kwenye hamasa ya kihistoria ya ushindi wa damu dhidi ya upanga katika jangwa la Karbala. Ni jambo lisilo na shaka kwamba Bwana Mtume na Ahlul-Bayt wake ni viumbe bora kabisa.
Fatima Maasuma, binti mtakasifu wa Imam al-Kadhim AS- 2
Safari ya Imam Ridha ya kubaidishwa kutoka mji wa Madina na kupelekwa Marw nchini Iran mwaka 200 Hijiria, ilifanyika kutokana na sisitizo na vitisho vya Maamun mtawala wa Kiabbasi, na mtukufu huyo alielekea katika mji wa Khorasan
Fatima Maasuma, binti mtakasifu wa Imam al-Kadhim AS- 1
Hakuna shaka kuwa moja ya njia za kuujua Uislamu ni kuijua na kuifahamu sira iliyojaa fahari ya Mtume Muhammad SAW na Watu wa Nyumba yake au Ahlul-Baiti wake watoharifu.
Maisha ya Imamu Hassan Al Askariy - 2
Kila alipokuwa akipata fursa, Imam Hassan alikuwa akitumia fursa hiyo kuzungumzia hali ya baadaye atakayokuwa nayo Imam Mahdi AS yaani ya ghaiba kutoweka mbele ya macho ya watu pamoja na taathira chanya za uongozi wa mwanawe Imam Mahdi AS kwa walimwengu. Mtukufu huyo alisisitiza kuwa......
3