bayyinaat

Itikadi
Tawhid
Kumjua Mwenyezi Mungu (swt)
Je, kuna ulazima wowote wa mwanadamu kumjua Mwenyezi Mungu?, kama ndio basi ni njia zipi sahihi za yeye kuweza kufikia katika kumjua Mwenyezi Mungu?..........
UTANGULIZI
Kila sifa njema basi inamstahiki Mwenyezi Mungu, ambaye ana kila haki ya kusifika na sifa njema pasi na mwingine asiyekuwa yeye. Kwani hakuna jambo ambalo utaweza kulizungumzia ila utakuta ndani yake kuna kila sababu ya kuweza kumtaja na kumtukuza yeye katika jambo hilo.
2