Bila shaka kitendo cha kulawiti ni kitendi kibaya mno chenye kuchukiwa na Dhati ya Mwanadamu, hivyo ni wazi kwamba yeyote anayetenda dhambi hiyo, basi ni dalili ya uchache wa akili zake, na hutubainishia ya kwamba dhamira ya mtu huyo
Liwaat; ni kitendo cha kijinsia baina ya jinsia mbili za kiume kiasi kwamba inakuwa ni mwanaume kumuingilia mwanaume mwenzie katika tupu yake ya nyuma, ambapo kwa mujibu wa Dini tukufu ya Kiislam pamoja na Dini nyinginezo za Kimungu ........
“Na tulimtuma Lut', alipo waambia watu wake: Je, mnafanya uchafu ambao hajakutangulieni yeyote kwa uchafu huo katika viumbe vyote!. Hivyo nyinyi mnawaingilia wanaume kwa matamanio mkawacha wanawake? Kumbe nyinyi ni watu wafujaji!”
Na amesema Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w): “Yeyote atakayemjamii mvulana ataletwa siku ya kiama ilihali yu katika janaba ambayo hakutakaswa na maji ya duniani na Mwenyezi Mungu atamghadhibikia na atamlaani, na atamuandalia moto wa jahanamu na hayo ......