bayyinaat

Sheria
Mada za kisheria
Na kama amempa talaka (ya tatu) basi si halali kwake baada ya hayo mpaka aolewe na mume mwingine. Na akiachwa basi hapana ubaya kwao kurejeana wakiona kuwa watashikamana na mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na hii ni mipaka ya Mwenyezi Mungu anayoibainisha kwa watu wanao jua.
Umuhimu wa sala
Kwa itikadi ya kila Mwislamu ni kwamba Sala ni nguzo ya dini, na Sala ni ngazi ya mja kumfikia Mola wake. Mtu anapokuwa ameacha Sala huwa........
3