1. Kuna kujiona na kujikweza kwa sababu unajiona una elimu na maarifa makubwa kuliko wote , na hali hii inawakumba wale watu ambao wanaposoma na kufikia daraja fulani la elimu , watadhani kwamba wao wanamiliki kila kitu upande wa elimu , na wanafikia hatua ya........