bayyinaat

Ulimwengu wa Kiislamu
Shahsia muhimu
Shahidi hafi
video fupi kuhusu shahidi Kipengele cha wasia ya shahia Qa..... Su..... Ee Mungu, asante kwa kuninufaisha kutoka kwa wazazi wangu maskini lakini wacha Mungu ambao wanapenda Ahlul-Bayt na ambao wako kwenye njia sahihi kila wakati.
Muhammad bin Zakaria Razi, Tabibu na Mkemia stadi wa Kiirani -2
Katika kipindi chake,suala la upasuaji wa mwili wa mwanadamu halikuwa maarufu na kimsingi suala hilo lilitambuliwa kuwa ni kinyume na maadili na mafundisho ya dini. Hata hivyo katika vitabu vyake kama kile cha Liber Almansoris, Zakaria Razi alibainisha na kuweka wazi suala la upasuaji wa mifupa, mishipa, ubongo, jicho, sikio, mapafu, moyo, utumbo na kadhalika na ...........
Muhammad bin Zakaria Razi, Tabibu na Mkemia stadi wa Kiirani -1
Zakaria Razi alisifika sana kwa uhodari na uwezo wake mkubwa wa kihifadhi na kushika mambo mengi kichwani mwake. Ameandika katika kitabu chake alichokipa jina la "Shaka Kuhusu Galinos" (Doubts About Galen) akisema: "Katika ujana wangu nilikuwa na hamu ......
Aviccena (Ibnu Sina)
Ibun Sina (Avicena) alizaliwa mwaka 370 A.H Sehemu ya Balakh ambayo ilikuwa ndani ya taifa la Iran ya zamani, ambapo hivi sasa ni ndani ya nchi ya Afghanistani, baba yake alikuwa ni katika mwana siasa na ni miongoni mwa............