bayyinaat

Jamii
Mwanamke
HIJAB - 001
Ulazima wa mwanamke kujihifadhi anapokabiliana na mwanaume ni miongoni mwa masuala muhimu mno katika dini tukufu ya Kiislamu. Hili ni jambo ambalo limezungumziwa kwa bayana katika Qurani tukufu. Hivyo basi, hili ni suala ambalo halina shaka kwa mtazamo wa Kiislamu.
Mavazi yako ni kioo cha uhalisia wako - 2
Hivi ndivyo ambavyo mavazi hutumika na watu wenye akili salama, kwamba huyatumia kuangalia aliye ndani ya mavazi yale, na mavazi huwa ni kama njia tu. Sawa mavazi yanaweza kuwa mazuri sana............
Mavazi yako ni kioo cha uhalisia wako
Miongoni mwa mambo ambayo Mwenyezi Mungu ameikirimu dini ya Kiislamu kwayo, ni swala zima la kumpa thamani mwanamke wa Kiislamu pamoja na kumlinda dhidi ya mambo yasiyomfaa ikiwa ni pamoja........
WASIA KWA WANAWAKE WANAOJISHUGHULISHA/ WAJASIRIAMALI
Leo hii katika nchi zilizoendelea zaidi asilimia 85, wanawake wenye umri kati ya miaka 25 hadi 49 pamoja na maisha ya kando ya kifamilia, wameendeleza kipaji chao katika maisha yao ya kifamilia. Wanawake wenye kujishughulisha wengi hufanya jitihada za kulea watoto au familia zao au watu wanaowahusu kwa kufanya mlinganisho wa kazini na watoto wao......
AINA 12 ZA TABIA MBAYA KWA MWANAMKE
Je! Wajifakharisha kuwa kwako mwanamke mwenye sifa ya pekee ya uanamke? Lakini tambua kuwa mwanamke na sifa zake, atakapokwenda kinyume nazo basi atapoteza sifa ya......
UMUHIMU WA MWANAMKE KATIKA UISLAMU
Mwanamke katika zama za ujinga alikuwa akionekana ni kama chombo cha starehe na bidhaa ambayo kila mtu alikuwa ana uwezo wa kumiliki bidhaa hiyo wakati wowote ule aliokuwa anahitaji. Wanaume walikuwa wakioa wanawake bila ya idadi maalumu na kuacha bila ya talaka. Mwanamke alikuwa haruhusiwi kumiliki kitu chochote na wala hana haki ya ..............
1