bayyinaat

Jamii
Mahusiano ya Dini
VISABABISHI VYA UTULIVU KATIKA MAISHA YA MWANADAMU
(sehemu ya 2)
12. Jieleze kupitia sanaa Kupata utulivu na amani inaweza kuwa changamoto, ingawa unaweza kupata amani ya ndani kupitia sanaa. Iwe wewe ni mchoraji hodari au mtaalamu katika useremala, unaweza kuboresha afya yako ya akili kupitia sanaa. Sanaa ya aina yoyote ...
VISABABISHI VYA UTULIVU KATIKA MAISHA YA MWANADAMU
(sehemu ya 1)
Inawezekanaje kuwa na utulivu maishani? Kwa sasa tunaishi katika jamii ambayo mawazo na mahangaiko hutusumbua kila siku. Katika ulimwengu wenye mwendo wa kasi kama huu, ni vigumu mtu kupata utulivu kwenye maisha yake. Tunangojea kila wakati jambo linalofuata ...
MUAMALA WA KIUTU NA WATU WOTE
Na hivyo ndivyo dini yetu yatufundisha na kutuasa, kwani hakuna maisha, ima katika kumjua mungu au katika kuishi na watu pasina kutekeleza muamala na watu wenzio
Mahusiano ya Kijamii Kwa Msingi wa Ufahamu
Kila mara mahusiano ya watu yanapoambatana na utambuzi na weledi huu na kuweko hali ya kudirikiana, basi, mahusiano ya kijamii huwa yenye uelewa na ufahamu na hivyo
Uislamu Na Dini Zilizopita
Lakini ndugu msomaji, swala la muhimu kujua hapa ni kwamba, Uislamu ambao unamaanishwa na pia ulikuwa katika kila dini ni upi? Maana isije tukaelewa vibaya na mwisho wake tukaangukia katika janga kubwa la kupinga dini nyinginezo na kusema kwamba hazijulikani kwa Mwenyezi Mungu.......