UMUHIMU WA MWANAMKE KATIKA UISLAMU

UMUHIMU WA MWANAMKE KATIKA UISLAMU

Mwanamke katika zama za ujinga alikuwa akionekana ni kama chombo cha starehe na bidhaa ambayo kila mtu alikuwa ana uwezo wa kumiliki bidhaa hiyo wakati wowote ule aliokuwa anahitaji. Wanaume walikuwa wakioa wanawake bila ya idadi maalumu na kuacha bila ya talaka. Mwanamke alikuwa haruhusiwi kumiliki kitu chochote na wala hana haki ya ..............
JE! UVAAJI  HIJABU  UNAFAIDA AU NI MADAI YA UISLAMU?

JE! UVAAJI HIJABU UNAFAIDA AU NI MADAI YA UISLAMU?

Mwili wa mwanadamu unahitaji vitu tofauti ili uwe salama kutokana na maradhi ya hapa na pale, mwenye kutaka kuwa salama na maradhi yampasa kutumia vitu au vyakula ambavyo vyauweka mwili kuwa salama kama matunda........
UTAFANYA NINI ILI UFANIKISHE NDOA YAKO?!

UTAFANYA NINI ILI UFANIKISHE NDOA YAKO?!

Pia tukitaka familia zetu ziwe bora ni lazima kuzingatia mambo haya baada ya kuzingatia mambo kadhaa niliyotaja hapo awali, nayo ni lazima nyumba ya wanandoa itawaliwe na upendo, utulivu na huruma, mambo matatu haya ndio chanzo.........
MWANAMKE NA KAZI

MWANAMKE NA KAZI

Ili kupata taswira nzuri kunako mtazamo wa Kiislamu tuangalie mpangilio wa kazi katika maisha ya bibi Fatima Zahara (a.s) Maisha ya bibi Fatma yanaashiria kwamba mpangilio wa kazi katika nyumba yake uligawika kwa kuzingatia haki na usawa.
JE NI HIJABU IPI AMBAYO HUHESABIKA KWAMBA NI STARA KWA MWANAMKE?

JE NI HIJABU IPI AMBAYO HUHESABIKA KWAMBA NI STARA KWA MWANAMKE?

Ni wazi kwamba; ikiwa hijabu itakuwa ni ya heshima itakuwa ni bora zaidi kuliko ya fedheha.
1 2 3 4