Tarehe 10 Mfunguo Sita Rabiul Awwal ni moja ya siku muhimu katika historia ya Uislamu, Katika siku hii Mtukufu Mtume Muhammad (saw) alimuoa Bibi Khadija binti Khuwaylid (as). Bibi Khadija alikuwa mwanamke sharifu.....
Ili kutayarisha mazingira na uwanja mzuri wa kudhihiri Imam wa Zama, Waislamu wanapaswa kujitayarishawao wenyewe kabla ya jambo lolote jingine. Sharti la kujitayarisha huko ni ......
Japokuwa Wakristo wanaoshikamana na dini wana imani ya mwokozi aliyeahidiwa, lakini uliberali ambao ndiyo mfumo wa kifikra unaotawala huko ....
Inaelezewa kwamba katika moja ya miaka ya utawala wa Mutawakkil kulitokea ukame mkali mno, na kipindi hicho imamu akiwa yupo kifungoni.......
Kwa hakika maisha ya Maimamu na Ahlul-Beit wa Mtume SAW, yamejaa maarifa na mafunzo kwa ajili ya kumlea mtu na jamii kwa ujumla. Hata hivyo utawala wa kitwaghuti, kidhalimu na halikadhalika