Maulid na Usahihi wake -1

Maulid na Usahihi wake -1

Hili kwa asili ni jambo jema sana na linalofaa kutukuzwa na kila mmoja, ila kwa kuwa tunataka kufikia katika hali njema zaidi basi ni wajibu wetu kuweza kuhamisha ada hii kutoka katika hali ya kusherehekea tu na kuihamisha katika hali ya kujifunza mambo muhimu kutoka...........
Maisha ya Imamu Hassan Al Askariy - 2

Maisha ya Imamu Hassan Al Askariy - 2

Kila alipokuwa akipata fursa, Imam Hassan alikuwa akitumia fursa hiyo kuzungumzia hali ya baadaye atakayokuwa nayo Imam Mahdi AS yaani ya ghaiba kutoweka mbele ya macho ya watu pamoja na taathira chanya za uongozi wa mwanawe Imam Mahdi AS kwa walimwengu. Mtukufu huyo alisisitiza kuwa......
Maisha ya  Imamu Hassan Al Askariy - 1

Maisha ya Imamu Hassan Al Askariy - 1

Baada ya kufariki dunia Imam Hadi AS, Imam Hassan Askari AS alichukua jukumu la kuongoza Umma wa Kiislamu akiwa na umri wa miaka 22 na kushikilia wadhifa huo kwa miaka 6 hadi alipuawa shahidi akiwa na umri wa miaka 28. Katika mazingira hayo magumu, mtukufu huyo aliweza kufikisha ujumbe wa mafundisho ya Kiislamu katika nyanja tofauti zikiwemo .........
SERA ZA MAISHA YA BIBI ZAHRAA KWA MUHTASARI

SERA ZA MAISHA YA BIBI ZAHRAA KWA MUHTASARI

Binti ambaye aliyemsaidia Baba yake katika mapambano dhidi ya makafiri wa mji wa Makka, katika Bonde la Abutalib. Na kustahamili mazito yaliyomsibu Baba yake, akiwa ni mwenye umri wa miaka saba, au nane kwa mujibu wa hitilafu za riwaya, hadi alipofariki Abutalib...........
ASHURAA NA SUALA LA KUAMRISHA MEMA

ASHURAA NA SUALA LA KUAMRISHA MEMA

Hii hutubainishia ya kwamba, nafasi ya kuamrisha mema na kukemea mabaya katika harakati ya Imam Hussein (a.s) ni kwa anuani ya lengo na kusudio la Imamu (a.s). Katika ziara ya Mtukufu huyo pia inatuthibitishia hilo pia pale inaposema:..............
1 2 3 4 5