Kama si mapinduzi ya Imam Husein (a.s) Uislamu usingetufikia salama, kwani yazidi na jopo lake walikuwa wamekusudia kuharibu........
Imam (a.s) alipoona maovu yanafanyika hadharani kwa jina la Mtume (s.a.w.w) na watu kuanza kuushakia Uislamu kutokana na mambo wanayo yafanya madhalimu waliojitambulisha.........
Baada ya tukio hilo Mtume aliyelekea nyumbani kwake na akamueleza mkewe (Bi Khadija) yote yaliyojiri, Bi Khadija (alikuwa ni mwanamke mwema mno) alimpongeza Mtume (s.a.w.w) kwa hilo, kisha akaamini utume wake, (kwa maana hii ni kwamba Bi Khadija ndiye mtu wa kwanza aliyeamini utume wa Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w) kabla ya watu wengine kumuamini)...........
Imam Mahdi (as) ni Imam wa kumi na mbili wa Mashia, na Baba yake alikuwa anaitwa Imam Hassan Askarii(a.s). Imam wetu Mutkufu alizaliwa katika siku ya Ijumaa Mwaka wa 255 katika Mji wa SamaraŁ na Jina la Imam Mahdi(a.s) ni kama Jina la Babu yake Mtume (s.a.w.w)........