Itikadi sahihi ndio msingi wa mafanikio - 2

Itikadi sahihi ndio msingi wa mafanikio - 2

Hii ni hatua ya kwanza kwa binadamu katika harakati za kukua kwa uwezo wake wa kupambanua na kutofautisha mambo, nacho ndio kipindi ambacho wataalamu wanakiita ni kipindi cha mtoto kuhama kutoka katika ngazi ya hisia na kuhamia katika ngazi ya kupambanua mambo......
Itikadi sahihi ndio msingi wa mafanikio

Itikadi sahihi ndio msingi wa mafanikio

Miongoni mwa mambo ambayo Mwenyezi Mungu amepambika nayo ni namna ambavyo amepangilia mambo yake katika hali ambayo mwanadamu wa kawaida hawezi hata kufikiria mbali na kutenda.
Uhakika wa Imani

Uhakika wa Imani

Kwa mujibu wa nadharia ya kidini, neno 'imani' ni mwelekeo wa kimoyo wenye mafungamano ya kifikra, kiitikadi na kiroho juu ya Mwenyezi Mungu Muumba wa dunia, kuamini wokovu kwa watu watendao mema, kuwepo maisha ya milele baada ya kuondoka duniani
Antony Flew na uwepo wa Mungu

Antony Flew na uwepo wa Mungu

Na ili kuthibitisha jambo hili inatutosha tu kurejea katika jamii zetu na kuona kwamba kuna wangapi ambao hawakubaliani na uhakika wa kwamba kuna Mungu?, natumia neno Uhakika wa uwepo wa Mungu nikiwa na maana ya kwamba hao wanaoamini kinyume.......
GHADIR KWA MUJIBU WA QUR’ANI - 1

GHADIR KWA MUJIBU WA QUR’ANI - 1

Mtukufu Mtume baada ya kutimiza Hijja ya mwisho na kutekeleza ibada za Hijja, na kufuta athari za kijahili na kuweka jiwe jeusi mahala pake na kukaa Makka kwa siku moja, Malaika Jibril alimjia Mtume na Aya hizi za....
1 2 3