SADAKA NA FAIDA ZAKE

(SEHEMU YA SITA)

SADAKA NA FAIDA ZAKE (SEHEMU YA SITA)

“Na mfano wa wale wanao toa mali zao kwa kuitafuta radhi ya Mwenyezi Mungu na kuzipa nguvu roho zao ni kama mfano wa bustani iliyo mahali pa juu, ikaifikia mvua kubwa na ikaleta mazao yake mardufu; na hata kama haifikiwi na mvua kubwa basi manyunyu hutosha. Na Mwenyezi Mungu anayaona mnayotenda”.
SADAKA NA FAIDA ZAKE

SEHEMU YA TANO

SADAKA NA FAIDA ZAKE SEHEMU YA TANO

Katika Aya hii imeashiriwa uhakika huu ya kwamba watu wenye imani utoaji wa sadaka kwa njia ya Mwenyezi Mungu ambazo zinaambatana na masimango na adha, ni batili na isiyo na thamani.
SADAKA NA FAIDA ZAKE

(SEHEMU YA NNE)

SADAKA NA FAIDA ZAKE (SEHEMU YA NNE)

"Na wapewe mafakiri walio zuilika katika njia za Mwenyezi Mungu, wasio weza kusafiri katika nchi kutafuta riziki. Asiye wajua hali zao huwadhania kuwa ni matajiri kwa sababu ya kujizuia kwao. Utawatambua kwa alama zao; hawang'ang'analii watu kwa kuwaomba. Na kheri yoyote mnayotoa, basi kwa yakini Mwenyezi Mungu anaijua”
SADAKA NA FAIDA ZAKE

(SEHEMU YA TATU)

SADAKA NA FAIDA ZAKE (SEHEMU YA TATU)

Tunafaidika kutoka katika Aya hii ya kwamba, yeyote atakaye toa mali yake katika njia ya Mwenyezi Mungu, basi Mwenyezi Mungu atamrudishia maradufu. Na kurudisha Mwenyezi Mungu sawa iwe duniani ambapo kwa sura ya kumzidishia neema zake, au akhera ambapo ndipo hiyo pepo ya milele.
UNYENYEKEVU

UNYENYEKEVU

Unyenyekevu una vigawanyo vikuu viwili vya kimsingi , na katika vigawanyo hivyo ni kimoja tu ndicho kinachosifika kwa Mwenyezi Mungu na kuwa ni katika sifa zilizokuwa ni njema.........
1 2 3 4 5