Mitume wengi wa Mwenyezi Mungu walikumbana na matatizo makubwa katika umati zilizotangulia kwa sababu wengi wao walikuwa wanasifika na sifa ya kujikweza na kujiona, kwa vile sifa hii mwisho wake inapelekea pabaya , walikuwa wakiamua kuwaua (yaani mitume) . na hivyohivyo .............
Kuna aya tukufu na hadithi nyingi zinazohusu fadhila za akili. kwa mfano nitataja hadithi ya Imam Musa ibun Jaafar Al-kadhim(a.s)katika mambo ambayo alimuhusia sahaba wake Hisham Ibun Hakam,alimwambia:ewe Hisham kama mtu anataka kutajirika bila kuwa na mali,au kama anataka kuwa huru........
na sehemu kama hizi ndizo zinazo mtofautisha mwanadamu na mnyama, Mwenyezi Mungu alipomuumba mwanadamu ha kumpa ukamilifu wote, bali alimpa sehemu ndogo kama kianzio cha kumfikisha kwenye huo ukamilifu, kwa lugha nyingine twaweza kusema kwamba alimpa rasilimali ndogo ya..........
Na kama amempa talaka (ya tatu) basi si halali kwake baada ya hayo mpaka aolewe na mume mwingine. Na akiachwa basi hapana ubaya kwao kurejeana wakiona kuwa watashikamana na mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na hii ni mipaka ya Mwenyezi Mungu anayoibainisha kwa watu wanao jua.
Akili inamfanya mtu awe na mwelekeo katika mambo yake yote anayoyafanya, na hasa mambo yanayohusu maisha yake ya kila siku na ya baadaye. Kwa hiyo basi.........