Usafi Katika Uislamu - 2

Usafi Katika Uislamu - 2

Hivyo basi tunatakiwa kuvaa vizuri, nguo safi, zinazopendeza na kutufanya tuonekane vizuri, ikiwezekana unatia na manukato hasa unapokuwa mbele ya Mola wako ukifanya ibada, itapendeza sana ikiwa utaingia katika swala ukiwa msafi mwenye mavazi safi, na hivi ndivyo Waislam tunavyotakiwa tuwe, kwani amesema.....
Usafi Katika Uislamu

Usafi Katika Uislamu

Miongoni mwa mafunzo ya dini tukufu ya Kiislam ni 'usafi wa kimwili na kiroho'. Naamini kwamba kila mtu atakuwa wa kwanza kukubaliana na mimi katika kauli hii kwamba 'dini tukufu ya Kiislam ni dini safi'. suala hilo liko wazi mno kwa wanadamu wote waliotangulia waliopo na watakao fuatia. Na ndio maana utaikuta dini hii inasisitiza zaidi usafi.....
1 2 3 4 5