Itikadi
maswali na majibu

hakika wingi wa vitabu na tungo juu ya historia ya Imam Husein na harakati yake (as) hautoshi, bali bado haja ipo ya kupatikana kitu kipya kwa sababu maudhui na mada yake ni pana zaidi ya yote yaliyoandikwa. Halikadhalika wingi wa tafiti zilizofanya haujatolesheleza mahitaji yaliyopo. Haja bado ipo ya kufanya utafiti wa kina zaidi ili kufichua ubora wa cheo chake na undani wa historia ya harakati yake(as).