Ulimwengu wa Kiislamu
Shahsia muhimu

Katika kipindi chake,suala la upasuaji wa mwili wa mwanadamu halikuwa maarufu na kimsingi suala hilo lilitambuliwa kuwa ni kinyume na maadili na mafundisho ya dini. Hata hivyo katika vitabu vyake kama kile cha Liber Almansoris, Zakaria Razi alibainisha na kuweka wazi suala la upasuaji wa mifupa, mishipa, ubongo, jicho, sikio, mapafu, moyo, utumbo na kadhalika na ...........