bayyinaat

Jamii
Mahusiano ya Dini
MUAMALA WA KIUTU NA WATU WOTE
Na hivyo ndivyo dini yetu yatufundisha na kutuasa, kwani hakuna maisha, ima katika kumjua mungu au katika kuishi na watu pasina kutekeleza muamala na watu wenzio
Mahusiano ya Kijamii Kwa Msingi wa Ufahamu
Kila mara mahusiano ya watu yanapoambatana na utambuzi na weledi huu na kuweko hali ya kudirikiana, basi, mahusiano ya kijamii huwa yenye uelewa na ufahamu na hivyo
Uislamu Na Dini Zilizopita
Lakini ndugu msomaji, swala la muhimu kujua hapa ni kwamba, Uislamu ambao unamaanishwa na pia ulikuwa katika kila dini ni upi? Maana isije tukaelewa vibaya na mwisho wake tukaangukia katika janga kubwa la kupinga dini nyinginezo na kusema kwamba hazijulikani kwa Mwenyezi Mungu.......