FADHILA ZA IMAM ALI (A.S) - 2

FADHILA ZA IMAM ALI (A.S) - 2

Ibn Omar aliulizwa kunako Ali na Othman. Akasema: Ama kuhusu Ali musiniulize kuhusu yeye; Angalieni daraja yake kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w), kwani (Mtume) alifunga milango yetu Msikitini, na akaacha mlango (wa Ali)........
FADHILA ZA IMAM ALI (A.S) -1

FADHILA ZA IMAM ALI (A.S) -1

Miongoni mwa fahari na fadhila kubwa ambazo Shia na Sunni wanakubaliana nazo kuhusu Imam Ali (a.s), na kauli hizi za Mtume alizosema kunako yeye.......
Umuhimu wa Maswala ya Itikadi katika maneno ya Mtume na Maimamu (as)

Umuhimu wa Maswala ya Itikadi katika maneno ya Mtume na Maimamu (as)

Endapo tutarejea na kuangalia maneno ya maimamu, basi tutakuta kwamba wao pia waliwekea umuhimu mno swala zima la itikadi, ima iwe kwa njia ya wao kuanza moja kwa moja kubainisha au hata wakati mwingine ni kwa njia ya kusahihisha pale wanapoona kwamba kuna makosa. Na kwa kuwa tumeona kwa mtume njia ya kwanza basi itakuwa vyema endapo ......
UMUHIMU WA MASWALA YA ITIKADI KATIKA MANENO YA MTUME (SAWW) NA MAIMAMU

UMUHIMU WA MASWALA YA ITIKADI KATIKA MANENO YA MTUME (SAWW) NA MAIMAMU

Moja: Mtume alikuwa akimwambia Hamza mambo ambayo kila mwanadamu anatakiwa ayaamini ili tu atakapokutana na mola wake siku ya mwisho akutane naye hali ya kuwa ni mwanadamu aliyekamilika kuanzia kimwenendo mpaka kiitikadi. Na hii ni kutokana na msingi ambao Mwenyezi Mungu ameuweka pale aliposema.....
Popo na Siri ya Uumbaji

Popo na Siri ya Uumbaji

Namleta kwako ewe ndugu msomaji wa mada hii, kiumbe ambaye hujulikana kama popo, ni mdogo kimaumbile ukilinganisha na tembo, lakini katika kumfikisha mwanadamu kunako kuthibitisha umahiri wa muumba wana nafasi......
1 2 3