Licha ya kwamba, utawala wa Bani Abbas ulikuwa na ugomvi na Imam Askary AS, lakini mmoja wa mawaziri wa utawala huo aliyejulikana kwa jina la Ahmad bin Khaqan, alikiri juu ya
kujitolea kwake katika njia ya Mwenyezi Mungu uliendelea hadi kwenye hamasa ya kihistoria ya ushindi wa damu dhidi ya upanga katika jangwa la Karbala. Ni jambo lisilo na shaka kwamba Bwana Mtume na Ahlul-Bayt wake ni viumbe bora kabisa.
Safari ya Imam Ridha ya kubaidishwa kutoka mji wa Madina na kupelekwa Marw nchini Iran mwaka 200 Hijiria, ilifanyika kutokana na sisitizo na vitisho vya Maamun mtawala wa Kiabbasi, na mtukufu huyo alielekea katika mji wa Khorasan
Sasa hapa ndipo ambapo tunakutana na jambo la muhimu, nalo ni kwamba je, swala la kuadhimisha au kudumisha kumsifu Mtume (saww) lina msingi katika dini mpaka tuseme kwamba jambo hili si Bidaa?.......
Kwa ufupi tunaweza kusema kwamba, kuna njia kuu mbili za kuweza kutolea hukumu jambo fulani, au Mwenyezi Mungu na Mtume wake katika hali ya kuweka sheria fulani basi wanaweza kutumia moja ya njia mbili zifuatazo..........