Jamii
Jamii za Kishia
Kula au kuvuta kitu ambacho ni sababu ya kuleta madhara kwa akili ya mtu au afya yake ni haramu (kitu hicho), lakini ikiwa ni madhara ya muda mfupi au machache ambapo akili haitadhurika wala kusumbuka, si jambo haramu.
Katika hitimisho lazima ifahamike kwamba Dini tukufu ya Uislamu imesisitiza mno suala la kulinda nafsi ya mwandamu, mali yake, heshima yake na haiba yake, na madaktari wote na maulamaa wa kidini wameafikiana juu ya mambo hayo, na kwamba uvutaji wa moshi hupelekea dosari katika afya ya mwanadamu na nafsi yake, hivyo ni lazima kuacha, na hapana madhara mengine makubwa zaidi