bayyinaat

Itikadi
maswali na majibu
ULIZA UJIBIWE 003
Ni nini msimamo wa mashia kuhusu Ahlal Sunnah wal Jamaa bila kuzingatia Takia.
ULIZA UJIBIWE 002
Mke akiwa ni mmoja katika Hurul Ain je na hurul Ain wengine ambao yasemekana watazawadiwa je cheo chake huko peponi kitakua vipi , huurul Ain atakua wakwanza au wa pili au au ... au hamna cha wakwanza wala wa pili wala , wala .... Inshallah, wa billahi Taufiiq
ULIZA UJIBIWE 001
00001- Baada ya barzakh ,je wanawake watakao kuwa mahurlain waume zao wakikosa pepo na Allah apishie mbali ,Je itakuwaje?
TARJUMA YA KITABU CHA (KIPIA KUMHUSU HUSEIN) - 001
hakika wingi wa vitabu na tungo juu ya historia ya Imam Husein na harakati yake (as) hautoshi, bali bado haja ipo ya kupatikana kitu kipya kwa sababu maudhui na mada yake ni pana zaidi ya yote yaliyoandikwa. Halikadhalika wingi wa tafiti zilizofanya haujatolesheleza mahitaji yaliyopo. Haja bado ipo ya kufanya utafiti wa kina zaidi ili kufichua ubora wa cheo chake na undani wa historia ya harakati yake(as).
SHEITANI NI NANI? 02
majia na sifa za sheitani
SHEITANI NI NANI? 03
Jee sheitani alikua ni malaika ?
1