bayyinaat

Itikadi
Unabii
Haja Ya Kuwepo Mitume -2
Lakini sasa haya maisha ya kijamii pamoja na kwamba yana faida kubwa sana kwetu pia ndani yake kuna matatizo na changamoto ambazo zinaweza kuwa sababu ya migongano au hata vita baina ya jamii husika, sasa je, nini kinahitajika ili kuweza kuondoa hii migongano?. Hapa ndipo ambapo tunakuta kwamba kuna haja ya kuwepo kwa...........
Haja Ya Kuwepo Kwa Mitume
Kama jawabu litakuwa ndio inawezekana kukawa na vigawanyo hivi katika mambo, basi kwa urahisi tunafikia katika natija ya kwamba hawa mitume wao huja na mambo ambayo hayajulikani kwa watu na pia ni yenye kufikiwa na akili za hao watu, kwani ni kinyume cha malengo kwamba Mitume waje na mambo ambayo hayaendani wala hayafikiwi na akili ya mwanadamu.........