Ndugu zangu, kuwepo shetani katika ulimwengu huu ni jambo zuri, na ni kheri lakini uzuri au kheri inamrejea yeye mwenyewe (shetani). Na halikadhalika kila kilichopo (kama Malaika, majini binadamu, mimea, wanyama) bilashaka kuwepo kila kimoja katika hivyo vilivyotajwa ni kheri......