bayyinaat

Jamii
Familia
KUDHARAU WAZAZI WAWILI; SEHEMU YA PILI
Alihudhuria Mjumbe wa Allah (s.a.w.w) kwenye kikao cha kijana aliyekaribia kukata roho na kumlakinisha shahada, lakini hakuweza kuitamka shahada hiyo, akauliza (s.a.w.w): Je! Anaye mama?
KUDHARAU WAZAZI WAWILI; SEHEMU YA KWANZA
Moja ya vigawanyo vya madhambi makubwa ni kudharau wazazi wawili na hakika Mtume na Imam Ali na Imam Sadiq na Imam Ridhaa na Imam Jawadi wote wamebainisha kwa uwazi ukubwa wa dhambi katika riwaya zilizonukuliwa kutoka kwa katika idadi ya madhambi ya makubwa.............
Matumizi ya Simu; faida na madhara yake kijamii-2
Karibuni hivi nilikuwa nikizungumza na swahiba wangu mmoja kuhusiana na hili, akaniambia lakini unajua bora hivyo kuliko zamani watu walikuwa wakikaa na kusengenya. Kushibana kwetu.......
Matumizi ya Simu; faida na madhara yake kijamii -1
Katika ulimwengu wa leo bila shaka hakuna mtu anayeweza kusema kuwa, hataki maendeleo. Na kama akitokea mtu wa aina hiyo basi atakuwa kituko na kioja kwa watu na wanajamii anaoishi nao. Kwani ili aende na..................
UTAFANYA NINI ILI UFANIKISHE NDOA YAKO?!
Pia tukitaka familia zetu ziwe bora ni lazima kuzingatia mambo haya baada ya kuzingatia mambo kadhaa niliyotaja hapo awali, nayo ni lazima nyumba ya wanandoa itawaliwe na upendo, utulivu na huruma, mambo matatu haya ndio chanzo.........
2