Jamii
Mwanamke
Leo hii katika nchi zilizoendelea zaidi asilimia 85, wanawake wenye umri kati ya miaka 25 hadi 49 pamoja na maisha ya kando ya kifamilia, wameendeleza kipaji chao katika maisha yao ya kifamilia. Wanawake wenye kujishughulisha wengi hufanya jitihada za kulea watoto au familia zao au watu wanaowahusu kwa kufanya mlinganisho wa kazini na watoto wao......
Mwanamke katika zama za ujinga alikuwa akionekana ni kama chombo cha starehe na bidhaa ambayo kila mtu alikuwa ana uwezo wa kumiliki bidhaa hiyo wakati wowote ule aliokuwa anahitaji. Wanaume walikuwa wakioa wanawake bila ya idadi maalumu na kuacha bila ya talaka. Mwanamke alikuwa haruhusiwi kumiliki kitu chochote na wala hana haki ya ..............