Lakini la kushangaza kwa sasa, watu ambao wanajiita Waislamu tena kwa kudai kuwa wao ni Waislamu bora na safi (na hatuna haja ya kukitaja jina kwani ni maarufu kwa kujinadi kuwa wao ndiyo Waislamu safi na wasiokuwa wao ni makafiri),
Kwa mfano waweza kulingania watu kwenye dini kwa mantiki na hoja za kielimu, au waweza ukatumia mabavu kuwalazimisha watu kuamini dini wasiyo iamini, hii sana ni pale dini kama hiyo inapokosa hoja za kimantiki za kuwakinaisha watu.