bayyinaat

Mwanzo
Tafuta
Nguvu za mwanadamu

Na

Njia sahihi ya kuzitawala -1
Angalia malaika, utakuta kwamba yeye ameumbwa katika mfumo wa kwamba hana kitu kikubwa zaidi ya akili ya kutii. Mwangalie mnyama utakuta kwamba ameumbwa katika mfumo wa matamanio tu. Lakini ukirudi kwa mwanadamu utakuta kwamba kwanza amekusanya mifumo yote ambayo inapatikana kwa malaika pamoja wanyama
Vipi tuuelekee mwezi wa Rajab?
Hii ikiwa na maana kwamba jambo la utukufu wa mwezi huu si jambo la kubahatisha, kwa maana kwamba mpaka kufikia kunasibishwa na Mwenyezi Mungu basi bila shaka kuna fadhila nyingi ambazo tumeelezea baadhi yake katika makala zilizopita.
Kwa hakika mwenye kufunga siku moja katika mwezi wa Rajab kwa imani na matarajio basi radhi za Mwenyezi Mungu huwa ni lazima kwake, na kwa funga yake hiyo atakuwa amezima ghadhabu za Mwenyezi Mungu katika siku ile, pia hufunga mlango baina ya milango ya moto.
Rajab, Mwezi wenye kutukuzwa tangu zama za Jahiliya
Jambo la kwanza kabisa katika riwaya hapo juu ni kwamba Mtukufu Mtume ameanza kutujuza ya kwamba mwezi wa Rajabu ni mwezi wa Mwenyezi Mungu (swt), na hili jambo pia tunakuja kulipata katika riwaya