bayyinaat

Mwanzo
Tafuta
KULA MALI YA YATIMA; SEHEMU YA KWANZA
Katika madhambi mengine makubwa ni kula mali ya yatima, kwa maana Mtoto ambaye hajabaleghe na amefariki Baba yake. Hakika Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na Maimamu watukufu Amir al- Muuminin (a.s) na Imam Kadhim na Imam Ridhaa (a.s) na Imam Jawad (a.s) wanaihesabu amali hii
KULA HARAMU; SEHEMU YA PILI
Vigezo vya rushwa: Mali ambayo itolewayo kwa anuani ya zawadi au hadia au kipatanishi kwa lengo la rushwa, au kwa anuani za mali za wajibu kama vile khumsi na zaka kwa kusudio la rushwa jambo hili ni haramu hakika......
KULA HARAMU; SEHEMU YA KWANZA
Moja ya madhambi makubwa ambayo umekuja ushahidi wa wazi juu ya kuwa kwake ni ukubwa ni kula haramu kama ilivyokuja katika hadithi ya sheria ya Imam Ridhaa (a.s) katika kitabu U’yun al- akhbaar na aidha katika riwaya ya A’mash kutoka kwa Imam Sadiq (a.s), na Mwenyezi Mungu ameihesabu dhambi hii kuwa ni katika sifa za Wayahudi
Nguvu za Shetani
Haikuishia hapo, bali ikafikia hatua ambayo Ibilisi anaweka viapo vya kuendelea kumsakama mwanadamu huyu katika maisha yake ya kila siku, ikiwa ni pamoja na kumkalia katika njia yake na kumuharibia mipango yake ya kumuelekea Mungu wake, isipokuwa waja wema ambao watakuwa wameshikamana na baadhi ya mambo ambayo kwa huyo Ibilisi yatakuwa ni kizuizi cha kuwakalia njiani.
Imam Hassan Almujtaba, Mjukuu Mtukufu wa bwana Mtume Muhammad
Jina lake ambalo hata katika kitabu cha Taurati lilikuwa limeshatajwa ni jina la Shubbar, kwa maana ya mzuri, jina ambalo ndilo lilikuwa jina la mtoto mkubwa wa Nabii Harun (as).