bayyinaat

Mwanzo
Tafuta
SADAKA NA FAIDA ZAKE

(SEHEMU YA KWANZA)
"Ni nani atakaye mkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mwema, ili amrudishie maradufu, na apate malipo ya ukarimu”. Mwenyezi Mungu ndani ya Aya hii anasema kwamba: Ni nani atakaye mkopesha Mwenyezi Mungu yaani mali yake kwa matarajio ya kurudishiwa maradufu, na sababu ya hili ni kwamba badala ya kutoa atumie neno kukopesha, ambapo mlipaji si mwingine ila ni yeye Mwenyezi Mungu mwingi